Friday, May 2, 2014

SARATANI YA MATITI KWA AKINA MAMA?



SARATANI YA MATITI KWA AKINA MAMA?
NDUGU WAPENZI AKINA MAMA WASOMAJI WA MAKALA ZANGU. LEO SITOKUWA NA MENGI BALI NAHITAJI KUWAPA MACHACHE KUHUSU SARATANI YA MATITI AMA SARATANI YA ZIWA KAMA WENGINE WANAVYOIITA. NAHITAJI KUWAPA DALILI NA DAWA YA KUTIBU MARADHI HAYA
DALILI
I) Katika hali ya kawaida mtu anaesumbuliwa maradhi haya , ngozi ya titi huonesha hali ya kubadilika na kuwa kavu na hukoza kidogo.
2) Chuchu ama vijana huita NIDO, husimama na baada ya siku chache hulegea na kuinamia chini. Huwa zinajivuta kidogo. Dalili hii mara nyingi huambatana na utokaji wa damu kwenye chuchu.
3) Titi/ziwa huvimba ama kwa baadhi ya wengine hufanya uvimbe kama jipu ndani ya titi/ziwa
4) Ziwa/titi huwasha au huuma sana. Baadhi ya siku huleta homa.
5) Mwili huchoka sana na mgonjwa huhisi uvivu kufanya kazi

MATIBABU
Dawa ya kansa/saratani ya titi ipo. Ni dawa ya miti shamba iliyotengenezwa vizuri ikiwa katika hali ya mafuta. Si dawa mbaya kutumia kwani ni mafuta ya kujipaka tu juu ya titi. Dawa hii ni muokozi wa walio wengi kwani ina gharama nafuu sana. Dawa hii BC Oil inapatikana kwa shilingi elfu 10,000/.00. Dawa hii unaweza kutumia kwa miezi miwili hadi mitatu, ambapo tatizo lako litakuwa limemalizika.

Je? Ni faraja kiasi gani hii akina mama?.

USHAURI
-         Kama unasumbuliwa na maradhi tuone tukusaidie kwa gharama nafuu sana
-         Pata ushauri wa Daktari aliyekaribu nawe
-         Usipasue uvimbe bila kupata ushairi wa daktari
-         Ondoa imani ya kishirikina juu ya maradhi haya
-         Usimfiche mumeo, kuwa nae karibu na saidianeni katika tiba

Mawasilisano
Wasilsiana na Mtalaam wa dawa za miti shamba
Yussuf H. Kombo  (Yussuf Kombo)
Simu Namba +255 713 459447   au +255 772 371701
Zanzibar - Tanzania

No comments:

Post a Comment